Home > Terms > Swahili (SW) > Ijumaa kuu

Ijumaa kuu

jina iliyopewa Ijumaa kabla ya Jumapili ya Pasaka, ambayo huadhimisha kusulubiwa kwa Yesu Kristo na kifo chake katika Golgotha. Inaelezwa kama 'Kuu' na Wakristo, kwani bila kusulubiwa hakungekuwa na ufufuo ya kuonyesha jinsi Mungu alishinda dhambi na mauti yenyewe.

Nyeusi (rangi ya huzuni na kilio) ni agizo kwa Ijumaa. Huduma makini inafanyika katika makanisa kama kumbukumbu ya matukio ya kusikitisha ya Ijumaa Kuu ya kwanza.

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Festivals
  • Category: Easter
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Blossaries

  • 0

    Followers

Industry/Domain: Language Category: Grammar

lugha tenganishi

lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...