Home > Terms > Swahili (SW) > lugha iliyodhibitiwa

lugha iliyodhibitiwa

Ni sehemu ya lugha ya kiasili ambayo huwa na vizuizi kuhusu namna sarufu na msamiati ili kupunguza ama kuondoa utata na uchangamano. Lengo lake ni kuyafanya matini kuwa nyepesi na yanayoeleweka. Lugha iliyodhibitiwa ni hitaji muhimu katika kufanikisha utafsiri kwa kutumia tarakilishi.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 1

    Followers

Industry/Domain: Festivals Category: Christmas

mshumaa

chanzo cha mwanga mfano wa utambi iliyoingizwa katika mafuta mango, kwa kawaida nta au mafuta, na kutumika katika Ukristo kumaanisha Mwanga wa Yesu ...

Contributor

Featured blossaries

Astrill

Category: Technology   1 2 Terms

The first jorney of human into space

Category: History   1 6 Terms